Psalms 106:8-10


8 aHata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,
ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.

9 bAlikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka,
akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.

10 cAliwaokoa mikononi mwa adui;
kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.
Copyright information for SwhKC